![]() |
MWENYEKITI wa NEC;Jaji Damian Lubuva. |
WAKATI Joto la Uchaguzi nchini likipamba moto,Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imezidi kuongeza mhemko kwa kutangaza majimbo mapya ya uchaguzi 26,ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Amesema katika upande wa Zanzibar majimbo yamebaki kuwa 50 kama awali hiyo inatokana vigezo vilivyowekwa na tume hiyo.
Mengine
ni majimbo ya Kondoa Mjini, Newala Mjini, Bunda Mjini, Mbulu Mjini, Ndanda,
Madaba, Mbinga Mjini, Mbagala, Kibamba,Vwawa,Monongo,Mlimba, Pamoja na
Uliambulu.
Jaji Lubuva amesema baadhi ya wabunge wamekuwa wakiingia katika Halmashauri mbili hiyo kuweka mipaka katika maeneo ili mbunge aweze kushiriki katika Halmashauri moja tu.
Amesema baadhi majimbo yamebadilishwa majina na kuendelea kuwepo kwa majimbo hayo kisheria.
Jaji Lubuva amesema baadhi ya wabunge wamekuwa wakiingia katika Halmashauri mbili hiyo kuweka mipaka katika maeneo ili mbunge aweze kushiriki katika Halmashauri moja tu.
Amesema baadhi majimbo yamebadilishwa majina na kuendelea kuwepo kwa majimbo hayo kisheria.