Saturday, July 11, 2015

DODOMA KWA WANA CCM HAPAKALIKI

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO

JOTO la Uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi katika kumpata atakayepeperusha bendera ya Chama hicho katika wadhifa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,linazidi
kupamba moto mjini Dodoma.




Huku hali ikiwa si shwari ndani ya CCM baada ya kukatwa majina makubwa kama ya akina Lowassa , imeibuka hii ya fedha kukamatwa hotelini zikidaiwa kupelekwa na miongoni mwa watangaza nia ya urais ili kuwapa wajumbe wa NEC.

Taarifa hii hakuna aliyeithibitisha kutokea,kutokana na wahusika wa ngazi wa vyombo vya dola kutopatikana kwa wakati kuzungumzia suala hili.

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI