VIJANA walikuwa watulivu kumsikiliza Kigwangalla. |
Akihutubia wananchi wa Jimbo la Nzega wakati wakutangaza nia ya
kuwania nafasi kubwa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais kupitia chama
cha mapinduzi CCM katika viwanja vya parking mjini Nzega
Dkt,Kigwangalla alisema wengine wote waliobaki sio wazoefu wa kufanya
kazi Ikulu bali ni wazoefu wa shughuli nyingine.
MBUNGE wa Jimbo la Nzega,Hamis Kigwangalla akiongea juu ya nia yake ya kuwania Urais wa awamu ya tano . |
Kauli hiyo ilikuja baada ya kuwepo madai ya kuwa vijana wenye umri
mdogo hawa wezi kuongoza Nchi kwa tabia iliyojengeka katika yakuwa
watu wenye umri mkubwa unao zidi miaka 40 ndio wenye uwezo wa kuwa
ongoza watanzania hali ambayo alipingana nayo kwa madai hata wenye
umri mkubwa wapo ambao hawana uwezo wa kuongoza.
MH;Kigwangalla kwa umakini mkubwa akieleza vipaumbele vyake. |
Dkt,Kigwangalla katika vipaumbele vyake iwapo atateuliwa na kushinda
nafasi hiyo atahakikisha ndani ya mwaka mmoja watanzania wote watakuwa
na Bima ya Afya watakao lipiwa na Serikali pamoja na kuwa jari
watumishi wa Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii ili waweze kutoa huduma
bora ya matibabu kwa wananchi.
UMATI ulimsikiliza kwa makini. |
“…….iwapo watanzania hawata pata huduma bora ya Afya kama kiongozi wa
Nchi mwisho wa siku utaongoza Taifa la wagonjwa na hivyo kudhoofisha
nguvu kazi ya Taifa hali ambayo inayoweza kusababisha kushuka kwa
uchumi wa Nchi’’alisema dkt Kigwangalla.
Alisema katika kuboresha suala la Elimu kwa watanzania kama atashika
nafasi hiyo anatamanai Elimu yote kuanzia Awari,msingi na sekondari
bure kwa kuwa atahakikisha nchi inakuwa na uchumi imara kwa kupunguza
matumizi ya serikali,safari,posho na ukubwa serikali.
MH:Kigwangalla akimwaga sera. |
Akizungumzia suala la kukuza uchumi kwa wakulima,wafanya Biashara
wadogowadogo na viwanda anatamani kuanzisha mfuko wa kukopesha
wananchi kwa kuwekeza Bill 500 kwa mwaka pamoja na kuboresha kitengo
cha ustawi wa jamii katika Halmashauri kwa ajili ya kwa
Elimisha,kuwaunganisha kwenye vikundi vya kudhaminiana na kuratibu
shughugili zao.
VIWANJA vya Packing vilifurika umati uliofika kumsikiliza Mh;Kigwangalla. |
rasimi laki mbili kila mwaka na ajira zisizo rasimi milioni kumi kila
mwaka na uchumi huu utamgusa kila mtu kila mwaka.
Kipaumbele
kingine alisema ni kutoa huduma bora za
kijamii,Afya,Maji,Elimu,
kijamii,Afya,Maji,Elimu,
miundombinu ya Barabara na Umeme
pamoja na
kudumisha utawala bora.
kudumisha utawala bora.
WAKIFUATILIA hotuba ya Mbunge Kigwangalla. |
Pia alisema atahakikisha anapambana kwa nguvu zote kuhakikisha anakomesha mauaji ya watu wenye Ulemavu wa Ngozi "Albino"kwa kuhakikisha kesi hizo hazichukui muda mrefu,sambamba na Mahakama zake kuzifanya wazi ili kila Mtanzania mwenye lengo la kufuatilia mashauri hayo apate fursa hiyo.
MBUNGE Jimbo la Nzega,Hamis Kigwangalla akiongea na umati uliojitokeza kumsikiliza akitangaza nia ya kugombea Urais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM. |
MH:Kigwangalla alipokuwa akiingia viwanja vya Packing. |
KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI