jimbo la Kahama, amewaasa Watanzania kuhakikisha tunailinda na kuienzi Kwa vitendo amani
iliyopo nchini sambamba na kutatua changamoto zinazojitokeza ambazo zinazoweza
kuvuruga upendo , umoja na mshikamano wa taifa letu.
Akihubiri
katika misa takatifu ya krismasi iliyofanyika
katika kanisa kuu la jimbo la Kahama , Askofu Minde alisema Wakristo duniani wanaposherekea
kuzaliwa kwa Bwana Yesu kristu,wanapaswa iwajenge zaidi katika amani, upendo , utulivu , mshikamano
na ushirikiano katika taifa letu.
Askofu
Minde alisema amani
iliyopo isiwe ya kauli za mdomoni,bali jamii inapaswa
kuzitatua changamoto hizo kivitendo zinazoweza kuhatarisha , upendo, umoja ,
mshikamano wa taifa letu na kuendelea kumuomba Mungu aendelee kuijalia tunu
hiyo.
iliyopo isiwe ya kauli za mdomoni,bali jamii inapaswa
kuzitatua changamoto hizo kivitendo zinazoweza kuhatarisha , upendo, umoja ,
mshikamano wa taifa letu na kuendelea kumuomba Mungu aendelee kuijalia tunu
hiyo.
Akizungumzia
juu ya changamoto za maisha katika familia, alisema
kila wanafamilia wanawajibika kuzitatua vizuri bila kuathiri upendo na mapenzi mema kwa watu anaoishi nao.
kila wanafamilia wanawajibika kuzitatua vizuri bila kuathiri upendo na mapenzi mema kwa watu anaoishi nao.
“Ndugu zangu waumini sikukuu hii ya krismasi
ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu ambayo ni sherehe ya kusherekea kwa pamoja na
familia,lazima kuachana na matendo mabaya yote ikiwemo ubinafsi, chuki, wivu , mifarakano kwa kumuomba Mungu ajalie
amani , upendo popote pale hata kama ni makazini.”Aliwaasa Askofu Minde.
familia,lazima kuachana na matendo mabaya yote ikiwemo ubinafsi, chuki, wivu , mifarakano kwa kumuomba Mungu ajalie
amani , upendo popote pale hata kama ni makazini.”Aliwaasa Askofu Minde.
Aidha
akitoa salamu za krismasi kwa waumini wa jimbo la Kahama baada
ya misa , Askofu Minde aliwatakia sikukuu jema ya kuzaliwa kwa Yesu kristu , upendo na mafanikio katika maisha na familia zetu na kuwataka kuendelea kumuomba Mungu aendelee kujaalia amani na mshikamano.
ya misa , Askofu Minde aliwatakia sikukuu jema ya kuzaliwa kwa Yesu kristu , upendo na mafanikio katika maisha na familia zetu na kuwataka kuendelea kumuomba Mungu aendelee kujaalia amani na mshikamano.