Saturday, July 22, 2017

ACACIA YAPATA HASARA YA TSH BILIONI 391.9

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO

 
 
Z
uio lililofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,la kusafirisha mchanga wa madini ya Dhahabu ( Makinikia )
kwenda kuchenjuliwa nje ya nchi kulikokuwa kukifanywa na Kampuni ya uchimbaji madini nchini, ACACIA,kumesababisha hasara.

Kampuni hiyo ya ACACIA,inayomiliki Migodi ya North Mara,Bulyanhulu na Buzwagi imetangaza kuwa imepata hasara ya takribani Tsh bilioni 391.9 kwa kipindi cha miezi 6 kutokana na kuzuiwa kusafirisha makinikia nje ya nchi.
 
 

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI