Wednesday, June 21, 2017

UPINZANI WAKIMBILIA MAHAKAMANI

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO



WABUNGE kutoka Vyama vya Upinzani katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamefungua kesi
kutaka vikao vya Bunge vizingatie Kanuni za kudumu.


Upinzani umeamua kufungua shauri hilo Mahakama Kuu Dodoma wakiiomba mahakama itamke kuwa Spika ataliongoza Bunge kwa kufuata kanuni za kudumu tu.


Hii ni baada ya Spika kumzuia John Mnyika kuhudhuria bunge kwa wiki moja ambapo upinzani wamedai hakuna adhabu kama hiyo kwenye kanuni.

Wabunge Watatu Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema Wamemfungua Mashitaka Mahakama Kuu Ya Dodoma Kupinga Uamuzi Wa Bunge Kuwapa Adhabu Halima Mdee, Estar Bulaya Na John Mnyika.

Mdee, Mnyika Na Bulaya Wawashitaki Spika Na Mwanasheria Mkuu.

Hakuna kanuni inayosema Spika anao Uwezo wa kumfungia Mbunge siku saba. Haipo, bali anaingiza kanuni zake mwenyewe kutoka kichwani mwake.

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI