Thursday, June 29, 2017

KARATA YA MWISHO KWA TAIFA STARS LEO,PATA MUDA MAALUMU WA MCHEZO.

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO





T

imu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars leo  29.6.2017 inatarajiwa kutupa Karata yake ya mwisho hatua ya Makundi  kundi A kwa kucheza Dhidi ya Mauritius . 

Mchezo Huo Utaanza majira ya saa kumi na Mbili kamili jioni (1800 Hours)  kwa muda wa Nyumbani East African Time (EAT).



 Tanzania Inaongoza kundi Lake ikiwa na Points 4 na Magoli 2 yakufunga Ikiwa haijafungwa Goli hata moja. Nafasi ya Pili inashikwa na Angola ambao nao wanapoints 4 wakiwa na Goli 1 la Kufunga na wakiwa hawajaruhusu Goli hata Moja.
Nafasi ya tatu inashikwa na Mauritius  ambao wana Points 1 sawa na Malawi walio nafasi ya nne, kinachowatofautisha ni Magoli ya Kufungwa.

Mauritius ana faida ya kufungwa bao moja Pekee, wakati Malawi wakiwa wamefungwa bao 2.

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI