Friday, July 15, 2016

HATIMAYE ZITTO AAGA UKAPERA

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO


ZITTO Zuberi Kabwe,Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT – Wazalendo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini,ameamua kuaga klabu ya makapera,baada ya kufunga ndoa na Anna Mtura Bwana.

Mbunge huyo aliuacha rasmi ukapera kwa kufunga ndoa na mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita.
Katika ndoa hiyo ambayo sherehe zake zilifanyika jana katika visiwa vya Zanzibar,zilihudhuriwa na ndugu wa karibu wa familia hizo mbili pamoja na marafiki wa karibu wa maharusi hao.




Baada ya kufungwa kwa ndoa hiyo,waalikwa walihudhuria sherehe zilizofanyika katika eneo la Nungwi,Zanzibar.


KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI