Thursday, May 12, 2016

PIGO JINGINE KATIKA TASNIA YA MAIGIZO NCHINI;KINYAMBE AFARIKI

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO


NI pigo tena katika tasnia ya Maigizo nchini baada ya Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah  "KINYAMBE" kufariki dunia leo usiku huko nyumbani kwao Mbeya.

 Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe amethibitisha  kuwa msanii huyo wa filamu  ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa, ingawa bado haijafahamika ugonjwa aliokuwa akiumwa.


 Mchekeshaji huyo ambaye alikuwa akishiriki katika filamu mbali mbali za ucheshi alianza kuonekana kupitia kituo cha televisheni cha Chanel TEN katika kipindi cha vituko show.

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI