Thursday, July 23, 2015

SIMIYU EXPRESS LACHINJA ABIRIA

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO

BASI la Simiyu Express likiwa eneo la tukio.
ABIRIA zaidi ya sita waliokuwa wakisafiri na basi la Simiyu Express,ikitoka mkoani Simiyu kuelekea Dar Es Salaam,inadaiwa wamepoteza maisha,baada ya basi hilo walilokuwa kupata  ajali mbaya jana katika eneo la Chalinze Nyama mkoani Dodoma.
 
 Kwa mujibu wa mtoa taarifa wetu aliyeko eneo la tukio anasema ajali hiyo ilitokea mnamo majira ya saa moja usiku,huku akieleza chanzo cha ajali ni kupasuka kwa tairi la mbele la basi hilo,lililosababisha gari hilo kumshinda dreva  na kwenda  kugonga mti aina ya mbuyu  kisha kupinduka.


 
 
Majeruhi wa ajali hiyo walikimbizwa katika Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma kwa ajili ya matibabu na kwamba watu waliopoteza maisha ni wengi na majeruhi ni wengi.




 






 

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI