Sunday, March 25, 2018

MAMBO YA FEDHA

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO

SEHEMU YA PILI.

     Lakini juu ya hivyo, Rose alinisisimua. Si kutokana na uhodari wake kazini tu, lakini zaidi ni umbo lake.. Alionekana anafaa zaidi kwa kazi nyingine, kuliko ofisini. Nikashangaa nilipokumbuka maneno yake kwamba alikuwa bado kuolewa, msichana mzuri kama huyu akakosa mume!

            Ana makosa gani kwa Mungu?
            Rose alimaliza kazi ya kufuta mashine yake, akageuka, kinywa kikiwa wazi kwa mshangao, aliniangushia tabasamu la kukata na shoka aliponiona nimesimama mlangoni nikimtumbulia macho.
          “ Bosi…. Mbona…. Umeingia Kimya kimya?”

          Sikujibu upesi, nilivuka kizingiti cha mlango,nikaingia.




NINI KILIENDELEA ,ENDELEA KUTEMBELEA BLOG HII....

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI