Saturday, June 4, 2016

TANZIA! MOHAMMAD ALI AFARIKI DUNIA!

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO

GWIJI la Masumbwi Duniani,Mohammad Ali,amefariki dunia!
Bondia huyu wa zamani ambaye alijiita ‘the greatest’,alikuwa ni miongoni mwa watu maarufu na wenye wapenzi wengi duniani,amefariki akiwa na umri wa mika 74 kutokana na tatizo katika mfumo wa upumuaji.
 
Bingwa huyo wa dunia wa uzani wa juu wa zamani alilazwa hospitalini toka siku ya alhamisi June 02 2016 kufuatia tatizo kwenye mapafu, Bondia huyo mbali na kupatwa na tatizo hilo alikuwa akiugua kiharusi.
 
Ali ambaye katika zama zake za masumbwi alikuwa na makonde mazito,huku akiwa mwepesi na mjanja anapokuwa ulingoni,alipatikana na ugonjwa wa Parkinson mwaka wa 1984 baada ya kustaafu ngumi za kulipwa .

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI