Friday, June 9, 2017

TRL YAREJESHA USAFIRI RELI YA KATI

BOFYA HAPA CHINI KUONA MAAJABU YA LEO


USAFIRI wa abiria kwa kutumia garimoshi,kwa reli ya kati,umerejea baada ya kuwa umekoma na kusababisha kuleta adha ya wananchi wa kipato
chini,kumudu kusafiri baiana ya mikoa ya Dar Es Salaam na Kigoma,pia Jijini Mwanza.

Kampuni ya reli Tanzania (TRL) imesema imerejesha tena huduma ya usafiri wa treni ya abiria na itaanza  siku ya jumapili juni 11,2017.



Akizungumza na wandishi wa habari Leo jijini Dar es salaam   kaimu mkurugenzi  wa  kampuni ya reli Tanzania TRL Focus Sahani  amesema kuwa  uamuzi wa kurejesha huduma hiyo unafatia kutengamaa kwa ukarabati wa daraja lilititia eneo la mto  ruvu mkoa  Pwani na pia kukamilika kwa tathimini ya kiwango cha usalama  kinachoruhusu kupitisha treni za abiria.

Aidha Sahani ametoa wito kwa wasafiri na wananchi walioko Mwanza,Kigoma,panda na mtandao wa reli ya kati  kwa ujumla kuwa wanaweza kukata tiketi za usafiri kama kawaida hadi Dar es salaam ama  vinginevyo.
Akizungumza na wandishi wa habari Leo jijini Dar es salaam   kaimu mkurugenzi  wa  kampuni ya reli Tanzania TRL Focus Sahani  amesema kuwa  uamuzi wa kurejesha huduma hiyo unafatia kutengamaa kwa ukarabati wa daraja lilititia eneo la mto  ruvu mkoa  Pwani na pia kukamilika kwa tathimini ya kiwango cha usalama  kinachoruhusu kupitisha treni za abiria.
Aidha Sahani ametoa wito kwa wasafiri na wananchi walioko mwanza,kigoma,mpanda na mtandao wa reli ya kati  kwa ujumla kuwa wanaweza kukata tiketi za usafiri kama kawaida hadi Dar es salaam ama  vinginevyo.

KUONA VIDEO MPYA BOFYA HAPA CHINI